YATOKAYO MADHABAHUNI Hiki ni kipindi kwa ajili yako kujifunza neno la Mungu, kama lilivyo bila kugoshiwa. Karibu tujifunze. Asante.WORD ALIVE CENTRE-Kibaha, Coast Region.

Yatokayo Madhabauni
Claim This Podcastby Elibariki Mchau
Podcast Overview
YATOKAYO MADHABAHUNI Hiki ni kipindi kwa ajili yako kujifunza neno la Mungu, kama lilivyo bila kugoshiwa. Karibu tujifunze. Asante.WORD ALIVE CENTRE-Kibaha, Coast Region.
Language
πΈπΌ
Publishing Since
4/23/2020
1 verified contact email on file for Yatokayo Madhabauni
Pitch yourself as a guest, propose sponsorships, or reach out directly to the host.
Recent Episodes

January 12, 2021
DHAMBI AU KUTENDA DHAMBI
Dhambi au kutenda dhambi kunamfanya mtendaji kutengwa na Mungu si kwa sababu Mungu ana mchukia Mtu huyo bali dhambi ndio humtenga Mtu huyo na Mungu. Matokeo ya dhambi ni kuwa humfanya mtendaji kila wakati kujutia dhambi zake na kutaka kuacha kutenda dhambi, ila wengi hawajui watafanyaje ili kutoka katika dhambi. Wengi hutafuta namna yakutoka lakini hawajui kwamba ipo njia sahihi ya kutoka kwenye dhambi, kuwa huru na kurejesha uhusiano na Mungu. Kwenye podcast hii ukisikiliza kwa makini utaipata njia ya kutoka katika dhambi. karibu uijue njia. Ni mimi Mtumishi wako Elibariki Solomon kutoka WORD ALIVE CENTRE, Kibaha. 0747556105

January 9, 2021
Mkristo baada ya kuamini na nafasi yake
Mkristo baada ya kuamini na nafasi yake: Mkristo ni mtu kama walivyo watu wengine ila tu yeye huishi maisha ya kumwamini na kumtegemea Mungu kwa maisha yake yote akiwa hapa duniani, itamwia vigumu kuishi maisha hayo iwapo hajui nafasi yake kama mwamini ni ipi na mipaka ya imani yake ni ipi. Hivyo basi katika somo hili tunaonyeaha mikapa na jinsi ya kuweza kumwamini na kumtegemea Mungu, fuatana nami katika somo hili ili uweze jifunza pamoja nasi. kwa maswali na ushauri piga 0747556105 au sms . Ni mimi Mtumishi wako Elibariki Solomon

January 8, 2021
Heri aliyesamehewa dhambi
Wakristo wengi waliosamehewa dhambi wameshindwa kufaidi haki waliohesabiwa kwa sababu ya kufuata mafundisho potofu kutoka kwa watumishi ambao siyo wakweli bali waongo wanaopindisha neno la Mungu kwa manufaa yao. Wamepelekea kuwa na Wakristo ambao kimsingi sio wa Kristo maana wamegeuka badala ya Kumwamini Yesu, sasa wana waandamia wao watumishi wa uongo na kuishia kuwa vitega uchumi vyao wao binafsi mwisho wataishia jehanamu ya moto wao na wateja wao. Hivyo somo hili litawasaidia waweze kutoka katika mtego huo wa ibilisi. Kwa ushauri piga 0747556105. Elibariki Solomon
7 total episodes available
Deep-dive analytics for Yatokayo Madhabauni
Frequently asked questions
Have a different question and can't find the answer you're looking for? Reach out to our support team by sending us an email and we'll get back to you as soon as we can.
- What is Yatokayo Madhabauni?
- How often does this podcast release new episodes?
This podcast updates daily.
- Where can I listen to this podcast?
This podcast is available on 4 platforms including Apple Podcasts, Spotify, and more. You can also use the RSS feed directly.
- Does this podcast accept guests?
No, this podcast does not typically feature guests.
Legal Disclaimer
Pod Engine is not affiliated with, endorsed by, or officially connected with any of the podcasts displayed on this platform. We operate independently as a podcast discovery and analytics service.
All podcast artwork, thumbnails, and content displayed on this page are the property of their respective owners and are protected by applicable copyright laws. This includes, but is not limited to, podcast cover art, episode artwork, show descriptions, episode titles, transcripts, audio snippets, and any other content originating from the podcast creators or their licensors.
We display this content under fair use principles and/or implied license for the purpose of podcast discovery, information, and commentary. We make no claim of ownership over any podcast content, artwork, or related materials shown on this platform. All trademarks, service marks, and trade names are the property of their respective owners.
While we strive to ensure all content usage is properly authorized, if you are a rights holder and believe your content is being used inappropriately or without proper authorization, please contact us immediately at hey@podengine.ai for prompt review and appropriate action, which may include content removal or proper attribution.
By accessing and using this platform, you acknowledge and agree to respect all applicable copyright laws and intellectual property rights of content owners. Any unauthorized reproduction, distribution, or commercial use of the content displayed on this platform is strictly prohibited.
